AIC Kirindine
  • Home
  • Prayers
  • Sermons
  • Songs
  • About Us
    • Our Leadership
    • Our Story
  • Giving
  • Knowledge Base
  • Contact

WANAFUNZI WAWILI WAKIELEKEA EMMMAUS

1.Palikuwa wanafunzi wawili,
Wakielekea huko mjini Emmaus.
Bwana wetu Yesu kajiunga nao Njiani
Hawakujuwa kama ni Bwana Yesu x2

Chorus
Wanafunzi wawili hawakumtambua
Alipoumega ule mkate wakala,
Walifunguka macho na kumjua x2

2.Bwana Yesu ni mkate wa uzima,
Katika safari yeye ni Kiongozi,
Usiwe na shaka na usikate tama.
Yu pamoja nawe na atakuongoza. X2

3.Yesu alisema ni njia ya uzima,
Yakwenda kwa Baba na hakuna mwingine.
Tumwamini Yesu nasi tutaingia,
Katika uzima ule wa milele x2

4.Kama ni mateso hayo yanakujia,
Kama ni majaribu ndio yanakujia.
Anaweza yote ukitembea na Yesu
Atakushindania Yesu ni muweza yote. X2

« WAKATI WA MATATIZO » HAKIKA BWANA YESU ATARUDI

1.Palikuwa wanafunzi wawili,
Wakielekea huko mjini Emmaus.
Bwana wetu Yesu kajiunga nao Njiani
Hawakujuwa kama ni Bwana Yesu x2

Chorus
Wanafunzi wawili hawakumtambua
Alipoumega ule mkate wakala,
Walifunguka macho na kumjua x2

2.Bwana Yesu ni mkate wa uzima,
Katika safari yeye ni Kiongozi,
Usiwe na shaka na usikate tama.
Yu pamoja nawe na atakuongoza. X2

3.Yesu alisema ni njia ya uzima,
Yakwenda kwa Baba na hakuna mwingine.
Tumwamini Yesu nasi tutaingia,
Katika uzima ule wa milele x2

4.Kama ni mateso hayo yanakujia,
Kama ni majaribu ndio yanakujia.
Anaweza yote ukitembea na Yesu
Atakushindania Yesu ni muweza yote. X2

AIC Kirindine

Request Prayer

Publish Article

Publish Song

Create Account

Join our Church

Donate To our Church

 

    AIC Kirindine 2026 © All Rights Reserved
    Developed by Maxwell Mwiti. Mbae +254704030266