HAKIKA BWANA YESU ATARUDI
1.Hakika Bwana Yesu atarudi,
Na Ujira wake Mkononi,
Kumlipa kila Mwanadamu,
(Sawa sawa na matendo yake x2) x2
Chorus
Nikawaona watu wamesimama,
Mbele ya hicho kiti cha enzi,
Waovu nao wakahukumiwa,
(Sawa sawa na matendo yake x2) x2
2.Bahari nayo ikawatoa wafu,
Walio kufa humo ndani yake.
Mauti nayo ikawatoa wafu,
(Hao nao wakahukumiwa x2) x2
3.Ikiwa Mtu hakuandikwa,
katika hicho Kitabu cha Uzima.
Ametupwa katika Ziwa la moto,
(Hiyo ndiyo mauti ya pili x2) x2
1.Hakika Bwana Yesu atarudi,
Na Ujira wake Mkononi,
Kumlipa kila Mwanadamu,
(Sawa sawa na matendo yake x2) x2
Chorus
Nikawaona watu wamesimama,
Mbele ya hicho kiti cha enzi,
Waovu nao wakahukumiwa,
(Sawa sawa na matendo yake x2) x2
2.Bahari nayo ikawatoa wafu,
Walio kufa humo ndani yake.
Mauti nayo ikawatoa wafu,
(Hao nao wakahukumiwa x2) x2
3.Ikiwa Mtu hakuandikwa,
katika hicho Kitabu cha Uzima.
Ametupwa katika Ziwa la moto,
(Hiyo ndiyo mauti ya pili x2) x2
