AIC Kirindine
  • Home
  • Prayers
  • Sermons
  • Songs
  • About Us
    • Our Leadership
    • Our Story
  • Giving
  • Knowledge Base
  • Contact

WAKATI WA MATATIZO

1.Wakati wa matatizo najiuliza maswali,
Kweli Bwana Mungu yuko Karibu na mimi,
Shinda zanifunga macho nikawa sioni mbele,
Kweli Dunia hii ina matatizo x2

Chorus
Sikia sauti yangu Bwana, ninakuomba,
Nipe uwezo.Shinda nyingi, zimenisonga, na sina uwezo.
Nishindiye Bwana daima x2

2.Na wakati furaha, naanza kufikiria,
Wema na uzuri wako, na vile unanipenda.
Siyapendi matatatizo lakini nafurahia,
Vile nguvu zako zaniweshesha kushinda. X2

3.Nina waombea wote, ambao ni wadhaifu
Waongeze imani wapate kuwa na raha.
Wape imani wapate kukutumaini wewe
Ndipo wapate kujua Nguvu zako Bwana x2

« MIMI NI UA » WANAFUNZI WAWILI WAKIELEKEA EMMMAUS

1.Wakati wa matatizo najiuliza maswali,
Kweli Bwana Mungu yuko Karibu na mimi,
Shinda zanifunga macho nikawa sioni mbele,
Kweli Dunia hii ina matatizo x2

Chorus
Sikia sauti yangu Bwana, ninakuomba,
Nipe uwezo.Shinda nyingi, zimenisonga, na sina uwezo.
Nishindiye Bwana daima x2

2.Na wakati furaha, naanza kufikiria,
Wema na uzuri wako, na vile unanipenda.
Siyapendi matatatizo lakini nafurahia,
Vile nguvu zako zaniweshesha kushinda. X2

3.Nina waombea wote, ambao ni wadhaifu
Waongeze imani wapate kuwa na raha.
Wape imani wapate kukutumaini wewe
Ndipo wapate kujua Nguvu zako Bwana x2

AIC Kirindine

Request Prayer

Publish Article

Publish Song

Create Account

Join our Church

Donate To our Church

 

    AIC Kirindine 2026 © All Rights Reserved
    Developed by Maxwell Mwiti. Mbae +254704030266