SIKU ZANGU DUNIANI NI CHACHE MNO
1.
Siku zangu duniani,
na ziona chache sana,
nazo zimejaa taabu na maangaiko mengi x2
Tumbwombe,Baba,Tumwombe
Alete, Baba, Alete
Amani, Baba, Amani
Dunia iwe tulivu x2
2.
Dunia na mambo yake, kitambo yatatoweka,
na mwisho wakaribia, jifiche kwa Bwana yesu X2
3.
Ufungue moyo wako, Bwana Yesu aingie,
uyaache ya Dunia, yote yatajapita x2
1.
Siku zangu duniani,
na ziona chache sana,
nazo zimejaa taabu na maangaiko mengi x2
Tumbwombe,Baba,Tumwombe
Alete, Baba, Alete
Amani, Baba, Amani
Dunia iwe tulivu x2
2.
Dunia na mambo yake, kitambo yatatoweka,
na mwisho wakaribia, jifiche kwa Bwana yesu X2
3.
Ufungue moyo wako, Bwana Yesu aingie,
uyaache ya Dunia, yote yatajapita x2
