BWANA YESU ALITAMKA
1.
Bwana yesu alitamka,
Mimi ndimi Njia ya kweli.
Mtu haji Kwa Baba yangu,
ila kwa njia yangu Mimi x2
Heebu jiulize(Jiulize).
Njia gani uifuatayox2
Nawe waelekea wapi,
Na wafuata njia ya kweli x2
2.
Ngamia ni rahisi sana,
kuingia tundu la shindano,
Kuliko mtu mewenye dhambi,
Kuingia nyumbani kwa baba x2
3.
Njia nyembamba yenye taabu,
ndiyo iendayo Mbinguni,
na hiyo pana ya anasa,
yaenda Jehanamu x2
4.
Mimi ndimi mwanzo na mwisho,
Mimi ni alpha na Omega,
Mtu haji kwa Baba yangu,
Ila kwa njia yangu mimi x2
1.
Bwana yesu alitamka,
Mimi ndimi Njia ya kweli.
Mtu haji Kwa Baba yangu,
ila kwa njia yangu Mimi x2
Heebu jiulize(Jiulize).
Njia gani uifuatayox2
Nawe waelekea wapi,
Na wafuata njia ya kweli x2
2.
Ngamia ni rahisi sana,
kuingia tundu la shindano,
Kuliko mtu mewenye dhambi,
Kuingia nyumbani kwa baba x2
3.
Njia nyembamba yenye taabu,
ndiyo iendayo Mbinguni,
na hiyo pana ya anasa,
yaenda Jehanamu x2
4.
Mimi ndimi mwanzo na mwisho,
Mimi ni alpha na Omega,
Mtu haji kwa Baba yangu,
Ila kwa njia yangu mimi x2
