AIC Kirindine
  • Home
  • Prayers
  • Sermons
  • Songs
  • About Us
    • Our Leadership
    • Our Story
  • Giving
  • Knowledge Base
  • Contact

NJOO KWANGU WENYE KIU

1.
Njooni kwangu wenye mizigo mizito.
Njooni kwangu mliolemewa
asema Bwana Yesu wa milele.
Nami nitawapumshiza x2

Wekeni nira yangu shingoni mwenu,
Mpate kunijua mimi mpole wa moyo x2

2.
Njooni Kwangu wenye kiu ya haki
Munywe maji yangu ya uzima,
Asema Bwana hamtaona kiu tena,
Maji yangu ni ya uzima x 2

3.
Niwitapo ninyi hakuna uchovu,
Furaha tele-tena na kuimba
Akuna shinda amina milele
Kwake Yesu kuna uzima x 2

« MIRADI GANI ULIYONAYO » MACHO YAKE BWANA YANAONA POTE

1.
Njooni kwangu wenye mizigo mizito.
Njooni kwangu mliolemewa
asema Bwana Yesu wa milele.
Nami nitawapumshiza x2

Wekeni nira yangu shingoni mwenu,
Mpate kunijua mimi mpole wa moyo x2

2.
Njooni Kwangu wenye kiu ya haki
Munywe maji yangu ya uzima,
Asema Bwana hamtaona kiu tena,
Maji yangu ni ya uzima x 2

3.
Niwitapo ninyi hakuna uchovu,
Furaha tele-tena na kuimba
Akuna shinda amina milele
Kwake Yesu kuna uzima x 2

AIC Kirindine

Request Prayer

Publish Article

Publish Song

Create Account

Join our Church

Donate To our Church

 

    AIC Kirindine 2026 © All Rights Reserved
    Developed by Maxwell Mwiti. Mbae +254704030266