MIRADI GANI ULIYONAYO
1.
Miradi gani, uliyo nayo.
Yenye dhamani, zaidi ya Yesu.
Miradi gani, yenye wokovu,
Ambayo faida yake uzima wa milele x 2
Bali na miradi. yenye baraka.
Usipende za-idi yake Bwana.
Mkumbuke Bwana, kwa mali yako,
Toa mali yako kwa kuhubiri x 2
2.
Nilizaliwa, nikiwa uchi,
Bali na vyote, baraka za
Mungu. Mradi gani, wenye dhamani.
Fariji ya moyo wangu potelea mbali x2
3.
Wasumbukia, na yapitao.
Nini dhamani, ya moyo wako.
Neno la Mungu, linakuita,
Ni mradi wa uzima salama milele x 2
1.
Miradi gani, uliyo nayo.
Yenye dhamani, zaidi ya Yesu.
Miradi gani, yenye wokovu,
Ambayo faida yake uzima wa milele x 2
Bali na miradi. yenye baraka.
Usipende za-idi yake Bwana.
Mkumbuke Bwana, kwa mali yako,
Toa mali yako kwa kuhubiri x 2
2.
Nilizaliwa, nikiwa uchi,
Bali na vyote, baraka za
Mungu. Mradi gani, wenye dhamani.
Fariji ya moyo wangu potelea mbali x2
3.
Wasumbukia, na yapitao.
Nini dhamani, ya moyo wako.
Neno la Mungu, linakuita,
Ni mradi wa uzima salama milele x 2
