MACHO YAKE BWANA YANAONA POTE
1
Macho yake Bwana, yanaona pote,
Juu ya milima, hata na angani,
Ewe mwanadamu, unafikiria,
Mungu hakuoni utendapo dhambi x 2
Yote usemayo, Hakika,Yote utendayo,
Hata Yale yote unaficha watu,
Yataonekana juu ya milima,
Rekebisha mwendo hukumu yaja x 2
3.
Mungu alipenda, ulimwengu sana,
Kamtoa mwana, wake wa pekee
Ili amwaminiye, asipotee,
bali apokee, ufalme wake x 2
4.
Neno lake Bwana, linaseme wazi,
Tukitenda dhambi, tutakuwa wafu,
Bali tukitenda, yampendezayo,
Tutazipokea, taji za ushindi x 2
1
Macho yake Bwana, yanaona pote,
Juu ya milima, hata na angani,
Ewe mwanadamu, unafikiria,
Mungu hakuoni utendapo dhambi x 2
Yote usemayo, Hakika,Yote utendayo,
Hata Yale yote unaficha watu,
Yataonekana juu ya milima,
Rekebisha mwendo hukumu yaja x 2
3.
Mungu alipenda, ulimwengu sana,
Kamtoa mwana, wake wa pekee
Ili amwaminiye, asipotee,
bali apokee, ufalme wake x 2
4.
Neno lake Bwana, linaseme wazi,
Tukitenda dhambi, tutakuwa wafu,
Bali tukitenda, yampendezayo,
Tutazipokea, taji za ushindi x 2
