AIC Kirindine
  • Home
  • Prayers
  • Sermons
  • Songs
  • About Us
    • Our Leadership
    • Our Story
  • Giving
  • Knowledge Base
  • Contact

NITAYAINUA MACHO YANGU NITAZAME MILIMA.

Solo: – Nitayainua macho yangu nitazame milimax2
Msaada wangu watoka wapi x2) X2
Solo: – Nitayainua macho yangu nitazame milimax2
Msaada wangu watoka wapi x2) x2

All: Nitalitia jina lake Bwana,
(Solo: Oo mimi nita) x2 Nitalitia jina lake Bwana
(Solo: Oo mungu wangu) aliyezifanya
(Mungu wangu) mbingu nayo nchi) x2

Tenor Solo: – Watakatifu wote wa kale walitia jina lake
Bwana (Wakapokea, haja za mioyo yao) x2

Sap Solo: – Yule Hanna mkewe Elikana alitia jina lake
Bwana (Akapokea haja ya moyo wake) x2

Auto Solo: – Hezekai akiwa mgonjwa alilitia, jina lake
Bwana (Akapokea uponyaji tele) x2
All: – msaada wangu ukatika Bwana aliyeifanya mbingu nayo ya nchi x2

« KAZI YA MUNGU NI YA AMANI » MBONA WAOGOPA WAPI AMANI YAKO

Solo: – Nitayainua macho yangu nitazame milimax2
Msaada wangu watoka wapi x2) X2
Solo: – Nitayainua macho yangu nitazame milimax2
Msaada wangu watoka wapi x2) x2

All: Nitalitia jina lake Bwana,
(Solo: Oo mimi nita) x2 Nitalitia jina lake Bwana
(Solo: Oo mungu wangu) aliyezifanya
(Mungu wangu) mbingu nayo nchi) x2

Tenor Solo: – Watakatifu wote wa kale walitia jina lake
Bwana (Wakapokea, haja za mioyo yao) x2

Sap Solo: – Yule Hanna mkewe Elikana alitia jina lake
Bwana (Akapokea haja ya moyo wake) x2

Auto Solo: – Hezekai akiwa mgonjwa alilitia, jina lake
Bwana (Akapokea uponyaji tele) x2
All: – msaada wangu ukatika Bwana aliyeifanya mbingu nayo ya nchi x2

AIC Kirindine

Request Prayer

Publish Article

Publish Song

Create Account

Join our Church

Donate To our Church

 

    AIC Kirindine 2026 © All Rights Reserved
    Developed by Maxwell Mwiti. Mbae +254704030266