AIC Kirindine
  • Home
  • Prayers
  • Sermons
  • Songs
  • About Us
    • Our Leadership
    • Our Story
  • Giving
  • Knowledge Base
  • Contact

HUKUMU ITATOLEWA.

1.
Hukumu itatolewa, kwa watu wote wabaya,
Wapendao Ulimwengu, na dhambi zao.
Mwokozi atarejea, na zawadi za Ushindi,
Zitatolewa kwa wote walioshinda x2

Bwana atawapa pole, huku akiwapokea,
Kwa kushikana mikono, poleni sana.
Wakipanda pole pole, kuingia paradiso,
Mji ulio mzuri Yerusalemu x2

2
Siku hiyo itakuwa, siku ya ajabu sana,
Sinema itatolewa, kwa watu wote,
Waovu watatamani, wasioone sinema,
Kwa sababu wametenda, mambo mabaya x2

3
Kaona watakatifu, wakiaaga dunia,
Dunia ewe dunia, kwaheri sana,
Hii ni mara ya mwisho, hatutaonana tena.
Dunia ewe dunia, Kwaheri sana x2

« NIPE MOYO SAFI » MIRADI GANI ULIYONAYO

1.
Hukumu itatolewa, kwa watu wote wabaya,
Wapendao Ulimwengu, na dhambi zao.
Mwokozi atarejea, na zawadi za Ushindi,
Zitatolewa kwa wote walioshinda x2

Bwana atawapa pole, huku akiwapokea,
Kwa kushikana mikono, poleni sana.
Wakipanda pole pole, kuingia paradiso,
Mji ulio mzuri Yerusalemu x2

2
Siku hiyo itakuwa, siku ya ajabu sana,
Sinema itatolewa, kwa watu wote,
Waovu watatamani, wasioone sinema,
Kwa sababu wametenda, mambo mabaya x2

3
Kaona watakatifu, wakiaaga dunia,
Dunia ewe dunia, kwaheri sana,
Hii ni mara ya mwisho, hatutaonana tena.
Dunia ewe dunia, Kwaheri sana x2

AIC Kirindine

Request Prayer

Publish Article

Publish Song

Create Account

Join our Church

Donate To our Church

 

    AIC Kirindine 2026 © All Rights Reserved
    Developed by Maxwell Mwiti. Mbae +254704030266