MIMI NI UA
1.Mimi ni ua hapa duniani,
Ni ua nzuri lipendwalo na Mungu
Mwili utakufa mwili utageuka
Roho itabaki kungojea hukumu x2
Chorus
Ole wako, Ole wangu siku ya ya mwisho
Ndipo atakapokuja Bwana
Bwana wa Mabwana
Kuyakusanya yale Maua Mazuri
2.Hebu tazameni ni ua lipi,
Lipendwalo sana na wenye Mashamba x2
3.Ewe Ndugu yanyu ujitoe vyema
uwe ua nzuri lipendwalo na Mungu x2
1.Mimi ni ua hapa duniani,
Ni ua nzuri lipendwalo na Mungu
Mwili utakufa mwili utageuka
Roho itabaki kungojea hukumu x2
Chorus
Ole wako, Ole wangu siku ya ya mwisho
Ndipo atakapokuja Bwana
Bwana wa Mabwana
Kuyakusanya yale Maua Mazuri
2.Hebu tazameni ni ua lipi,
Lipendwalo sana na wenye Mashamba x2
3.Ewe Ndugu yanyu ujitoe vyema
uwe ua nzuri lipendwalo na Mungu x2
