MAWAZO UNAYOYAWAZA
1. (Mawazo) unayowaza
(maneno) unayoyasema
(Matendo) unayoyatenda
(Mungu) anayajua x2
Darubini ya Bwana, inakusungulia x3, inakuona.
Ujificahe wapi inakuchungulia, ukimbilie wapi,
inakuchungulia heri hutubu x 2
2. (Hata) Ndugu ukipewa
(Huu) ulimwengu wote
(Huja) pata hasara
(Mwisho) ni Jehanamu
3. (Tele) visheni ya Bwana
(Ita) yaonyesha yote
(Siku) Hiyo yamwisho
(Yale) uliyoyafanya x2
1. (Mawazo) unayowaza
(maneno) unayoyasema
(Matendo) unayoyatenda
(Mungu) anayajua x2
Darubini ya Bwana, inakusungulia x3, inakuona.
Ujificahe wapi inakuchungulia, ukimbilie wapi,
inakuchungulia heri hutubu x 2
2. (Hata) Ndugu ukipewa
(Huu) ulimwengu wote
(Huja) pata hasara
(Mwisho) ni Jehanamu
3. (Tele) visheni ya Bwana
(Ita) yaonyesha yote
(Siku) Hiyo yamwisho
(Yale) uliyoyafanya x2
