JOSHUA NA KALEBU
1.
Joshua na kalebu walitumwa na watu;
wapeleleze
wapeleleze
wapeleleze
wapeleleze
wapeleleze nchi hiyo ya Kanani, Bwana iliyowahidi x2
Watu wale wawili, wakaribishwa,
(Bass: – Na yule) Kahaba mmoja aitwaye Rahabu, kawapandisha darini. Mfalme wa Yeriko, alikasirika,
(Bass: – Lakini). Solo: – mpango wa Mungu akisha upanga, ni lazima utimie aaaax2
All: – mpango wa Mungu akisha upanga, ni lazima utimie aaaax2
2.
Walipouliza Rahabu, akawajibu;
Walitoroka.
Walitoroka.
Walitoroka.
Walitoroka
Walitoroka usiku wa manane,
Kama Walivyoambiwa x2
3.
Nchi hiyo ya Cannani ni ya Waisraeli;
Aliwahidi.
Aliwahidi
Aliwahidi.
Aliwahidi
Aliwahidi Bwana Mungu wa Majeshi, wakiwa utumwani Misrii x2
1.
Joshua na kalebu walitumwa na watu;
wapeleleze
wapeleleze
wapeleleze
wapeleleze
wapeleleze nchi hiyo ya Kanani, Bwana iliyowahidi x2
Watu wale wawili, wakaribishwa,
(Bass: – Na yule) Kahaba mmoja aitwaye Rahabu, kawapandisha darini. Mfalme wa Yeriko, alikasirika,
(Bass: – Lakini). Solo: – mpango wa Mungu akisha upanga, ni lazima utimie aaaax2
All: – mpango wa Mungu akisha upanga, ni lazima utimie aaaax2
2.
Walipouliza Rahabu, akawajibu;
Walitoroka.
Walitoroka.
Walitoroka.
Walitoroka
Walitoroka usiku wa manane,
Kama Walivyoambiwa x2
3.
Nchi hiyo ya Cannani ni ya Waisraeli;
Aliwahidi.
Aliwahidi
Aliwahidi.
Aliwahidi
Aliwahidi Bwana Mungu wa Majeshi, wakiwa utumwani Misrii x2
