AIC Kirindine
  • Home
  • Prayers
  • Sermons
  • Songs
  • About Us
    • Our Leadership
    • Our Story
  • Giving
  • Knowledge Base
  • Contact

BWANA WA MAJESHI

1.
Bwana wa majeshi asema
hivi kwamba leo mwende kule, Milimani,
Mkaniletee mawe, mkanijengee Kanisa langu
Bwana asema x 2

(Sap: – Hilo
All: – Hilo ni langu x 3
Jenga Kanisa) x 2

2.
Bwana wa Majeshi asema
hivi kwamba leo mwende kule, Msituni.
Mkaniletee miti mkanijejengee Kanisa langu,
Bwana asema x 2

3.
Bwana Wamajeshi asema
hivi kwamba leo mwende kule, Nyumbani,
Mkaniletee ujuzi mkanijengee Kanisa langu,
Bwana asema x 2

4.
Bwana wamajeshi asema
hivi watu wa injili sasa, muwe hodari.
Mkafanye kazi kwa kuwa mimi niko pamoja nanyi,
nitawapa, amani. x 2

« MAKAO YA RAHA » MAISHA YANGU MIMI NI MAFUPI

1.
Bwana wa majeshi asema
hivi kwamba leo mwende kule, Milimani,
Mkaniletee mawe, mkanijengee Kanisa langu
Bwana asema x 2

(Sap: – Hilo
All: – Hilo ni langu x 3
Jenga Kanisa) x 2

2.
Bwana wa Majeshi asema
hivi kwamba leo mwende kule, Msituni.
Mkaniletee miti mkanijejengee Kanisa langu,
Bwana asema x 2

3.
Bwana Wamajeshi asema
hivi kwamba leo mwende kule, Nyumbani,
Mkaniletee ujuzi mkanijengee Kanisa langu,
Bwana asema x 2

4.
Bwana wamajeshi asema
hivi watu wa injili sasa, muwe hodari.
Mkafanye kazi kwa kuwa mimi niko pamoja nanyi,
nitawapa, amani. x 2

AIC Kirindine

Request Prayer

Publish Article

Publish Song

Create Account

Join our Church

Donate To our Church

 

    AIC Kirindine 2026 © All Rights Reserved
    Developed by Maxwell Mwiti. Mbae +254704030266