NENO LILIMJIA JOELI
1.
Neno lilimjia Joel mwana wa Bethiel,
Likawaonya wazee wote wan chi na vizazi vyao x2
Solo: – (Lakini hata sasa asema Bwana)
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu
Solo: – Kukesha na kwa kuomba
Kwa kulia na kuomboleza
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu
Solo: – nani alisema sita wabariki
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu
Solo: – Mimi Bwana ninasema
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu x2
2.
Sodoma na Gomorah walionywa hawakusikia
Moto wake Mungu ulishuka wateketea
3.
Napenda wale wanipendao asema Bwana
Nitawapa siri ya moyo wangu asema Bwana x2
1.
Neno lilimjia Joel mwana wa Bethiel,
Likawaonya wazee wote wan chi na vizazi vyao x2
Solo: – (Lakini hata sasa asema Bwana)
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu
Solo: – Kukesha na kwa kuomba
Kwa kulia na kuomboleza
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu
Solo: – nani alisema sita wabariki
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu
Solo: – Mimi Bwana ninasema
All: – Nirudieni kwa mioyo yenu x2
2.
Sodoma na Gomorah walionywa hawakusikia
Moto wake Mungu ulishuka wateketea
3.
Napenda wale wanipendao asema Bwana
Nitawapa siri ya moyo wangu asema Bwana x2
