NAINGOJA SIKU YA FURAHA
1.
Naingoja siku ya furaha,
ya kurudi kwake mwokozi.
Alisema atarudi tena,
ni ahadi yake mwokozi, x2
Yesu wangu njoo,
nitwae mbinguni, katika mji wa ahadi.
Ni mbinguni tuu, Mji wa Bwana
nitajisikia Nyumbani x2
2.
Duniani mimi nasafiri,
nina enda kwetu mbinguni.
Kwenya mji huo wa furaha,
Yesu atanifikisha huko., x2
3.
Bwana wangu tazama dunia,
dhambi nyingi zimezidi sana.
Watu wengi wafuata dunia,
alilia Yesu njoo leo x2
1.
Naingoja siku ya furaha,
ya kurudi kwake mwokozi.
Alisema atarudi tena,
ni ahadi yake mwokozi, x2
Yesu wangu njoo,
nitwae mbinguni, katika mji wa ahadi.
Ni mbinguni tuu, Mji wa Bwana
nitajisikia Nyumbani x2
2.
Duniani mimi nasafiri,
nina enda kwetu mbinguni.
Kwenya mji huo wa furaha,
Yesu atanifikisha huko., x2
3.
Bwana wangu tazama dunia,
dhambi nyingi zimezidi sana.
Watu wengi wafuata dunia,
alilia Yesu njoo leo x2
