DUNIA INAPITA
1.Dunia inapita Ndugu, Ndunia inapita oo.
Lakini neno lake Mungu halipiti,
Litadumu milele, kamwe Halipiti x2
Andaa moyo wako,songea kwa Yesu .
Maisha ni maua, yanyauka mbaya.
Ndugu ujiwekeehazina Mbinguni. x2
2.
Dunia sio mbaya ajabu,Watu ndio wabaya oo.
Watu wanayo chuki wivu, na fitina.
Wanaua wengine, kisha utajiri.
Bado walalamika dunia ni mbaya x2
3.
Duniani twapita Ndugu, Dunia sio makao yetu.
Tusitii amri, zake Mungu Baba,
Tena tulishikeni , Neno lake Mungu.
Ndipo tutamaliza safari salama x2
1.Dunia inapita Ndugu, Ndunia inapita oo.
Lakini neno lake Mungu halipiti,
Litadumu milele, kamwe Halipiti x2
Andaa moyo wako,songea kwa Yesu .
Maisha ni maua, yanyauka mbaya.
Ndugu ujiwekeehazina Mbinguni. x2
2.
Dunia sio mbaya ajabu,Watu ndio wabaya oo.
Watu wanayo chuki wivu, na fitina.
Wanaua wengine, kisha utajiri.
Bado walalamika dunia ni mbaya x2
3.
Duniani twapita Ndugu, Dunia sio makao yetu.
Tusitii amri, zake Mungu Baba,
Tena tulishikeni , Neno lake Mungu.
Ndipo tutamaliza safari salama x2
