AIC Kirindine
  • Home
  • Prayers
  • Sermons
  • Songs
  • About Us
    • Our Leadership
    • Our Story
  • Giving
  • Knowledge Base
  • Contact

TUMEACHA VYOTE TUKAKUFUATA WEWE --- AIC

1.
Tumeacha vitu vyote tukakufuata wewe ,
Tutapata nini? Petro kauliza X2
Tumeacha na nyumba , tukaacha na ndugu
Tutapata nini? Petro kauliza X2

CHORUS
All: – Yesu akajibu, chochote mumeacha,
Kwa ajili yangu, mtapewa mara`mia.
Zaidi ya hayo, taji mtatiwa,
Taji mtatiwa na uzima wa milele x2

2.
Tumeacha vitu vyote tukakufuata wewe ,
Tutapata nini? Petro kauliza X2
Tumeacha na Dada zetu , tukaacha na Wazazi
Tutapata nini? Petro kauliza X2

3.
Tumeacha vitu vyote tukakufuata wewe ,
Tutapata nini? Petro kauliza X2
Tumeacha na watoto, tukaacha na mashamba ndugu
Tutapata nini? Petro kauliza X2

« RUNGAMA NANI YESU by Judith Makandi

1.
Tumeacha vitu vyote tukakufuata wewe ,
Tutapata nini? Petro kauliza X2
Tumeacha na nyumba , tukaacha na ndugu
Tutapata nini? Petro kauliza X2

CHORUS
All: – Yesu akajibu, chochote mumeacha,
Kwa ajili yangu, mtapewa mara`mia.
Zaidi ya hayo, taji mtatiwa,
Taji mtatiwa na uzima wa milele x2

2.
Tumeacha vitu vyote tukakufuata wewe ,
Tutapata nini? Petro kauliza X2
Tumeacha na Dada zetu , tukaacha na Wazazi
Tutapata nini? Petro kauliza X2

3.
Tumeacha vitu vyote tukakufuata wewe ,
Tutapata nini? Petro kauliza X2
Tumeacha na watoto, tukaacha na mashamba ndugu
Tutapata nini? Petro kauliza X2

AIC Kirindine

Request Prayer

Publish Article

Publish Song

Create Account

Join our Church

Donate To our Church

 

    AIC Kirindine 2026 © All Rights Reserved
    Developed by Maxwell Mwiti. Mbae +254704030266